More details

Ibada ya uzinduzi wa Chaplaincy tawi la CCT-USCF katika chuo Kikuu Cha elimu ya Biashara (CBE) Campus ya Dodoma.

Ibada ya uzinduzi wa Chaplaincy tawi la CCT-USCF katika chuo Kikuu Cha elimu ya Biashara (CBE) Campus ya Dodoma. Mgeni rasmi katika ibada hii ni Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania(CCT) Mchg Canon Dkt. Moses Matonya. Uzinduzi wa Chaplaincy umeambatana na kusimikwa Kwa mchungaji mlezi , Mchg Modest Pesha na Mwl. Mlezi Dorice Munuo